Psalms 135:1-3

Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu


1 aMsifuni Bwana.

Lisifuni jina la Bwana,
msifuni, enyi watumishi wa Bwana,

2 bninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana,
katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.


3 cMsifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema,
liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
Copyright information for SwhKC